iqna

IQNA

Jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Iraq, Mohammed Shia' al-Sudani amemuenzi kamanda wa ngazi ya juu wa kupambana na ugaidi wa Iran, Luteni Jenerali Qassem Soleimani na mwenzake wa Iraq, Abu Mahdi al-Muhandis, waliouawa katika shambulio la kigaidi la ndege zisizo na rubani za Marekani karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad miaka mitatu iliyopita, na kusema kuwa mauaji hayi yalikuwa "shambulio kali" dhidi ya uhuru na mamlaka ya kujitawala Iraq.
Habari ID: 3476365    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06